SURA YA 4-1. Sisi Ndio Hatutaweza kuonja Mauti kamwe, Tutafurahia Maisha ya Milele (Wagalatia 4:1-11)

Episode 1 January 15, 2023 00:27:45
SURA YA 4-1. Sisi Ndio Hatutaweza kuonja Mauti kamwe, Tutafurahia Maisha ya Milele (Wagalatia 4:1-11)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 4-1. Sisi Ndio Hatutaweza kuonja Mauti kamwe, Tutafurahia Maisha ya Milele (Wagalatia 4:1-11)

Jan 15 2023 | 00:27:45

/

Show Notes

Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 4:1,Sasa nasema kwamba mrithi,maadamu ni motto,hana tofauti kabisa na mtumwa, ingawa ni Bwana wa wote.Imeandikwa kuwa ikiwa sisi ni wana wa Mungu,basi sisi ni warithi wa urithi wake,Sisi ni warithi wa Mungu,inamaanisha kuwa Mungu ameturuhusu kupata uzima wa kweli kwa kutupatia ondoleo la dhambi zetu mileleTunapaswa sote kufahamu umuhimu mkubwa wa kile Mtume Paulo anasema hapa na kuamini kwa mioyo yetu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 15

January 15, 2023 01:00:17
Episode Cover

SURA YA 6-4. Bwana Ametuokoa Sio Kwa Damu Yake tu Msalabani, bali Kupitia Injili Ya Maji na Roho (Wagalatia 6:11-18)

Jioni hii, katika Neno la Mungu kutoka Wagalatia 6: 11-18, ningependa kushiriki neema za Bwana nanyi. Kama tulivyoona hivi sasa katika Neno, na vile...

Listen

Episode 5

January 15, 2023 00:42:51
Episode Cover

SURA YA 5-1. Kaa Ndani Ya Kristo Ukitegemea Injili ya Maji na Roho (Wagalatia 5:1-16)

Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 2:20, Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai;wala si mimi tena,bali Kristo yu hai ndani yangu. ikiwa tunaamini katika...

Listen

Episode 14

January 15, 2023 00:44:26
Episode Cover

SURA YA 6-3. Hebu Tumtumikie Mungu Kwa Kubebeana Mizigo Yetu Kila Mmoja (Wagalatia 6:1-10)

Kifungu cha Maandiko cha leo kinasema Ndugu zangu,mtu akighafilika katika kosa lolote,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole,Mtu...

Listen