Masharti kama vile kujitengenezea Wakristo au kanisa lenye watu watu wengi,linaloonekana kuwa maarufu sana,haswa miongoni mwa jamii za Wakaristo wa Dunia ya Tatu.Wanajaribu kubadilisha ukristo wa Magharibi kuwa aina moja ambayo inaambatana zaidi na tamaduni zao.Wanasisitiza sana kifungu cha pili cha uhasama wa jadi,Umoja katika mambo muhimu,uhuru katika vitu visivyo vya msingi na hisani katika mambo yote.Lakini jambo la bahati mbaya ni kwamba hawajua mambo muhimu ni yapi au ni nini.Walakini,injili ya maji na Roho iliyoenezwa na sisi haiwezi kudhihirishwa katika hali tofauti nay ale yaliyomo katika injili hii.Na hivyo haiwezi kubadilika kwa hali yoyote.Ninamshukuru Mungu kwa kweli maana ninaweza kuwahubiria injili ya maji na Roho ambayo inaweza kukuokoa kutoka katika dhambi zako zote chini ya hali yeyote.Kwa hviyo,niko tayari kufanya kazi hii ya haki mpaka siku ile Bwana wetu atakaporudi.Ninaamini kwamba roho nyingi zitaachiliwa kutoka katika dhambi zao zote kwa kuamini injili ya maji na Roho.Ninjua pia kitabu hiki kitakuwa na faida kwako kabisa.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kuna wakristo wengi wakati huu ambao bado hawajasamehewa dhambi zao, kwa kuwa hawajapokea injili ya ondoleo la dhambi ambayo imekuja na injili ya maji...
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi...
Katika Wagalatia sura 5 mtari wa 1, inasema, Kwa hiyo simameni,wala msinaswe tena chini ya konwa la utumwa. Kifungu hiki kinatuambia tusiipokee tohara ya...