Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 2:20, Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai;wala si mimi tena,bali Kristo yu hai ndani yangu. ikiwa tunaamini katika Neno hili, ya kwamba tumesulubiwa na Kristo na Yeye anaishi ndani yetu, basi tumekwisha kufa katika yeye, na Bwana wetu anakaa na anaishi ndani yetu. Kristo alichukua dhambi zote tunazotenda hapa duniani, kutoka katika dhambi zetu za zamani hadi dhambi hizi za sasa na za baadaye, kupitia Ubatizo aliopokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na alikufa Msalabani na kufufuka kutoka kwa wafu tena. Sasa, kama Bwana wetu anaishi ndani yetu, kwa njia hiyo ametuwezesha kuimba zabuni na raha zake kila wakati. Bwana wetu ameishi mioyoni mwetu kama Roho Mtakatifu, na anatuongoza sote.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika Wagalatia sura 5 mtari wa 1, inasema, Kwa hiyo simameni,wala msinaswe tena chini ya konwa la utumwa. Kifungu hiki kinatuambia tusiipokee tohara ya...
Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha...
Nimeshughulikia maswala kadhaa katika Wagalatia hadi sasa, lakini kushughulikia Kitabu cha Wagalatia kwa undani zaidi, bado ninahitaji kutoa mahubiri zaidi. Ni kwa sababu Neno...