SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Episode 4 January 15, 2023 00:22:55
SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Jan 15 2023 | 00:22:55

/

Show Notes

Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na watumwa na wako chini ya wasimamizi kwa muda, na kwamba wanateseka chini ya mambo ya ulimwengu kwa muda mfupi. Alisema, "Ingawa tunaishi kama watumwa katika ulimwengu huu kwa muda mfupi, tusisahau kuwa sisi ni wana wa Mungu ambao tutarithi utajiri wote wa Mungu Baba." Ujumbe huu haukuzungumzwa tu kwa watumishi wa Mungu na watu wake wote wakati huo, lakini pia unasemwa kwetu pia leo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 14

January 15, 2023 00:44:26
Episode Cover

SURA YA 6-3. Hebu Tumtumikie Mungu Kwa Kubebeana Mizigo Yetu Kila Mmoja (Wagalatia 6:1-10)

Kifungu cha Maandiko cha leo kinasema Ndugu zangu,mtu akighafilika katika kosa lolote,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole,Mtu...

Listen

Episode 1

January 15, 2023 00:27:45
Episode Cover

SURA YA 4-1. Sisi Ndio Hatutaweza kuonja Mauti kamwe, Tutafurahia Maisha ya Milele (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 4:1,Sasa nasema kwamba mrithi,maadamu ni motto,hana tofauti kabisa na mtumwa, ingawa ni Bwana wa wote.Imeandikwa kuwa ikiwa sisi ni...

Listen

Episode 8

January 15, 2023 00:47:26
Episode Cover

SURA YA 5-4. Matakwa ya Roho Mtakatifu na yale ya Mwilini (Wagalatia 5:13-26)

Katika aya na maandiko ya leo, Mtume Paulo alisema, Tembea kwa Roho. Je! Inamaanisha nini kwetu kuzaliwa mara ya pili kwa kufuata matakwa ya...

Listen