SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)

Episode 9 January 15, 2023 00:37:39
SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)

Jan 15 2023 | 00:37:39

/

Show Notes

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza kabisa, Paulo anasema kwamba kazi za mwili zinaonekana, halafu anaendelea kuorodhesha kama ifuatavyo: “Uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira , fitina,faraka,uzushi, wivu, husuda,ulevi, ulafi, na mambo yafananayo na hayo. "Kisha Paulo anafafanua matunda ya Roho, akisema, "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema fadhili,uaminifu, upole,kiasi;Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 14

January 15, 2023 00:44:26
Episode Cover

SURA YA 6-3. Hebu Tumtumikie Mungu Kwa Kubebeana Mizigo Yetu Kila Mmoja (Wagalatia 6:1-10)

Kifungu cha Maandiko cha leo kinasema Ndugu zangu,mtu akighafilika katika kosa lolote,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole,Mtu...

Listen

Episode 3

January 15, 2023 00:45:31
Episode Cover

SURA YA 4-3. Usigeukie Tena Mambo Dhaifu na yenye Unyonge Ya Ulimwengu (Wagalatia 4:1-11)

Paulo aliandika barua hii takriban miaka 2000 iliyopita. Mambo haya hurejea kanuni za msingi za Sheria, kuishi maisha ya kisheria ya imani kulingana na...

Listen

Episode 13

January 15, 2023 00:51:26
Episode Cover

SURA YA 6-2. Lazima Tutupilie, Mbali Imani Ya Sala za Toba na Kutambua Kuwa Ni Uwongo (Wagalatia 6:1-10)

Nimeshughulikia maswala kadhaa katika Wagalatia hadi sasa, lakini kushughulikia Kitabu cha Wagalatia kwa undani zaidi, bado ninahitaji kutoa mahubiri zaidi. Ni kwa sababu Neno...

Listen