Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza kabisa, Paulo anasema kwamba kazi za mwili zinaonekana, halafu anaendelea kuorodhesha kama ifuatavyo: “Uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira , fitina,faraka,uzushi, wivu, husuda,ulevi, ulafi, na mambo yafananayo na hayo. "Kisha Paulo anafafanua matunda ya Roho, akisema, "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema fadhili,uaminifu, upole,kiasi;Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Mara tu ukiangalia Wagalatia, tunaweza kuona kwamba kulikuwa na maeneo fulani ambayo mtume Paulo alipambana sana, akishawishiwa na imani ya waovu, kulikuwa na wengi...
Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 2:20, Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai;wala si mimi tena,bali Kristo yu hai ndani yangu. ikiwa tunaamini katika...
Jioni hii, katika Neno la Mungu kutoka Wagalatia 6: 11-18, ningependa kushiriki neema za Bwana nanyi. Kama tulivyoona hivi sasa katika Neno, na vile...