SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)

Episode 9 January 15, 2023 00:37:39
SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)

Jan 15 2023 | 00:37:39

/

Show Notes

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza kabisa, Paulo anasema kwamba kazi za mwili zinaonekana, halafu anaendelea kuorodhesha kama ifuatavyo: “Uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira , fitina,faraka,uzushi, wivu, husuda,ulevi, ulafi, na mambo yafananayo na hayo. "Kisha Paulo anafafanua matunda ya Roho, akisema, "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema fadhili,uaminifu, upole,kiasi;Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 15, 2023 00:22:55
Episode Cover

SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...

Listen

Episode 10

January 15, 2023 00:22:50
Episode Cover

SURA YA 5-6. Matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:15-26)

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi...

Listen

Episode 16

January 15, 2023 00:39:11
Episode Cover

SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)

Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha...

Listen