SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Episode 11 January 15, 2023 00:48:18
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Jan 15 2023 | 00:48:18

/

Show Notes

Mara tu ukiangalia Wagalatia, tunaweza kuona kwamba kulikuwa na maeneo fulani ambayo mtume Paulo alipambana sana, akishawishiwa na imani ya waovu, kulikuwa na wengi katika makanisa ya Galatia ambao walidanganywa na mafundisho ya uwongo kwamba mtu alilazimika kumwamini Yesu Kristo kama Mwokozi kwa kupata tohara ili aokolewe. Alipata shida kwa sababu injili ya maji na Roho ingeweza kupotoshwa na waliotahiriwa ambao walikuwa wakifundisha kwamba kutahiriwa kwa mwili ndio kitu sahihi. Mtume Paulo alijitahidi sana kusahihisha imani ya wale waliopotoshwa. Kwa hivyo, aliwaonya wale waliotahiri kwa kusema, Msiwafundishe hivyo. Utalaaniwa na Mungu ikiwa unaamini na unashuhudia hivyo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 15, 2023 00:42:51
Episode Cover

SURA YA 5-1. Kaa Ndani Ya Kristo Ukitegemea Injili ya Maji na Roho (Wagalatia 5:1-16)

Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 2:20, Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai;wala si mimi tena,bali Kristo yu hai ndani yangu. ikiwa tunaamini katika...

Listen

Episode 16

January 15, 2023 00:39:11
Episode Cover

SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)

Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha...

Listen

Episode 12

January 15, 2023 00:59:24
Episode Cover

SURA YA 6-1. Shiriki Katika Kazi Zote Njema Za Mungu (Wagalatia 6:1-10)

Je! ulikuwa na chakula cha jioni kizuri? Hii ni mara ya kwanza kwamba hatujafanya sherehe zozote za michezo wakati wa kufanya mikutano yetu ya...

Listen