SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Episode 11 January 15, 2023 00:48:18
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Jan 15 2023 | 00:48:18

/

Show Notes

Mara tu ukiangalia Wagalatia, tunaweza kuona kwamba kulikuwa na maeneo fulani ambayo mtume Paulo alipambana sana, akishawishiwa na imani ya waovu, kulikuwa na wengi katika makanisa ya Galatia ambao walidanganywa na mafundisho ya uwongo kwamba mtu alilazimika kumwamini Yesu Kristo kama Mwokozi kwa kupata tohara ili aokolewe. Alipata shida kwa sababu injili ya maji na Roho ingeweza kupotoshwa na waliotahiriwa ambao walikuwa wakifundisha kwamba kutahiriwa kwa mwili ndio kitu sahihi. Mtume Paulo alijitahidi sana kusahihisha imani ya wale waliopotoshwa. Kwa hivyo, aliwaonya wale waliotahiri kwa kusema, Msiwafundishe hivyo. Utalaaniwa na Mungu ikiwa unaamini na unashuhudia hivyo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 15, 2023 00:22:50
Episode Cover

SURA YA 5-6. Matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:15-26)

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi...

Listen

Episode 6

January 15, 2023 00:46:54
Episode Cover

SURA YA 5-2. Athari ya Imani, Kufanya Kazi Kupitia Upendo (Wagalatia 5:1-6)

Katika Wagalatia sura 5 mtari wa 1, inasema, Kwa hiyo simameni,wala msinaswe tena chini ya konwa la utumwa. Kifungu hiki kinatuambia tusiipokee tohara ya...

Listen

Episode 13

January 15, 2023 00:51:26
Episode Cover

SURA YA 6-2. Lazima Tutupilie, Mbali Imani Ya Sala za Toba na Kutambua Kuwa Ni Uwongo (Wagalatia 6:1-10)

Nimeshughulikia maswala kadhaa katika Wagalatia hadi sasa, lakini kushughulikia Kitabu cha Wagalatia kwa undani zaidi, bado ninahitaji kutoa mahubiri zaidi. Ni kwa sababu Neno...

Listen