SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Episode 11 January 15, 2023 00:48:18
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Jan 15 2023 | 00:48:18

/

Show Notes

Mara tu ukiangalia Wagalatia, tunaweza kuona kwamba kulikuwa na maeneo fulani ambayo mtume Paulo alipambana sana, akishawishiwa na imani ya waovu, kulikuwa na wengi katika makanisa ya Galatia ambao walidanganywa na mafundisho ya uwongo kwamba mtu alilazimika kumwamini Yesu Kristo kama Mwokozi kwa kupata tohara ili aokolewe. Alipata shida kwa sababu injili ya maji na Roho ingeweza kupotoshwa na waliotahiriwa ambao walikuwa wakifundisha kwamba kutahiriwa kwa mwili ndio kitu sahihi. Mtume Paulo alijitahidi sana kusahihisha imani ya wale waliopotoshwa. Kwa hivyo, aliwaonya wale waliotahiri kwa kusema, Msiwafundishe hivyo. Utalaaniwa na Mungu ikiwa unaamini na unashuhudia hivyo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 15, 2023 00:22:55
Episode Cover

SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...

Listen

Episode 1

January 15, 2023 00:27:45
Episode Cover

SURA YA 4-1. Sisi Ndio Hatutaweza kuonja Mauti kamwe, Tutafurahia Maisha ya Milele (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 4:1,Sasa nasema kwamba mrithi,maadamu ni motto,hana tofauti kabisa na mtumwa, ingawa ni Bwana wa wote.Imeandikwa kuwa ikiwa sisi ni...

Listen

Episode 12

January 15, 2023 00:59:24
Episode Cover

SURA YA 6-1. Shiriki Katika Kazi Zote Njema Za Mungu (Wagalatia 6:1-10)

Je! ulikuwa na chakula cha jioni kizuri? Hii ni mara ya kwanza kwamba hatujafanya sherehe zozote za michezo wakati wa kufanya mikutano yetu ya...

Listen