Kuna wakristo wengi wakati huu ambao bado hawajasamehewa dhambi zao, kwa kuwa hawajapokea injili ya ondoleo la dhambi ambayo imekuja na injili ya maji na Roho, na wanabaki wakikamatwa na mafundisho wakristo wa uwongo.Kwa hivyo, kupitia Kitabu hiki cha Wagalatia, napenda kuwaonya kwa kuwa wanakabiliwa na uharibifu wa kiroho kwa sababu ya fundisho la sala za toba ambalo wamekuwa wakifuata. Ninahisi hivyo isipokuwa nichukue fursa hii kuweka wazi jambo hili, hakutakuwa na fursa nyingine ya kusahihisha imani yao potofu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika Wagalatia sura 5 mtari wa 1, inasema, Kwa hiyo simameni,wala msinaswe tena chini ya konwa la utumwa. Kifungu hiki kinatuambia tusiipokee tohara ya...
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi...
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza...