SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)

Episode 16 January 15, 2023 00:39:11
SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)

Jan 15 2023 | 00:39:11

/

Show Notes

Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha Paulo hapa ni kwamba watu hawapaswi kujaribu kupokea ondoleo la dhambi kupitia imani yao batili, wala kudai kuwa hawana dhambi. Alisema kwamba hakuna mtu anayepaswa kumsumbua tena, haswa kwani alielezea vya kutosha jinsi ilivyo imani potofu kwa walanguzi kujaribu kuwa watu wa Mungu kwa kutahiriwa. Kwa maneno mengine, Paulo aliwaambia wasimpe uzito au kumtoa nguvu kwa imani hizo mbaya.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 12

January 15, 2023 00:59:24
Episode Cover

SURA YA 6-1. Shiriki Katika Kazi Zote Njema Za Mungu (Wagalatia 6:1-10)

Je! ulikuwa na chakula cha jioni kizuri? Hii ni mara ya kwanza kwamba hatujafanya sherehe zozote za michezo wakati wa kufanya mikutano yetu ya...

Listen

Episode 11

January 15, 2023 00:48:18
Episode Cover

SURA YA 5-7. Usiishi kwa Utukufu Usio na Maana, Bali Tafuta Ufalme wa Mungu (Wagalatia 5:16-26)

Mara tu ukiangalia Wagalatia, tunaweza kuona kwamba kulikuwa na maeneo fulani ambayo mtume Paulo alipambana sana, akishawishiwa na imani ya waovu, kulikuwa na wengi...

Listen

Episode 4

January 15, 2023 00:22:55
Episode Cover

SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...

Listen