Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha Paulo hapa ni kwamba watu hawapaswi kujaribu kupokea ondoleo la dhambi kupitia imani yao batili, wala kudai kuwa hawana dhambi. Alisema kwamba hakuna mtu anayepaswa kumsumbua tena, haswa kwani alielezea vya kutosha jinsi ilivyo imani potofu kwa walanguzi kujaribu kuwa watu wa Mungu kwa kutahiriwa. Kwa maneno mengine, Paulo aliwaambia wasimpe uzito au kumtoa nguvu kwa imani hizo mbaya.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza...
Nimeshughulikia maswala kadhaa katika Wagalatia hadi sasa, lakini kushughulikia Kitabu cha Wagalatia kwa undani zaidi, bado ninahitaji kutoa mahubiri zaidi. Ni kwa sababu Neno...
Kuna wakristo wengi wakati huu ambao bado hawajasamehewa dhambi zao, kwa kuwa hawajapokea injili ya ondoleo la dhambi ambayo imekuja na injili ya maji...