Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi zote mbili, sawa? Walakini, kama wenye haki, kile tunachowaza na kutamani ni kuzaa matunda ya Roho Mtakatifu maishani mwetu. Imeandikwa, "Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fadhili, utu wema, uaminifu, upole, kiasi. Juu ya mambo hayo hakuna sheria (Wagalatia 5: 22-23). Kuna matunda tisa ya Roho yaliyoorodheshwa hapa, na Bwana alituambia kuwa kila wakati tuzae matunda haya ya Roho katika maisha yetu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Mtume Paulo alisema katika Wagalatia 4:1,Sasa nasema kwamba mrithi,maadamu ni motto,hana tofauti kabisa na mtumwa, ingawa ni Bwana wa wote.Imeandikwa kuwa ikiwa sisi ni...
Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...
Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha...