SURA YA 5-6. Matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:15-26)

Episode 10 January 15, 2023 00:22:50
SURA YA 5-6. Matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:15-26)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 5-6. Matunda ya Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:15-26)

Jan 15 2023 | 00:22:50

/

Show Notes

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi zote mbili, sawa? Walakini, kama wenye haki, kile tunachowaza na kutamani ni kuzaa matunda ya Roho Mtakatifu maishani mwetu. Imeandikwa, "Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fadhili, utu wema, uaminifu, upole, kiasi. Juu ya mambo hayo hakuna sheria (Wagalatia 5: 22-23). Kuna matunda tisa ya Roho yaliyoorodheshwa hapa, na Bwana alituambia kuwa kila wakati tuzae matunda haya ya Roho katika maisha yetu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 15, 2023 00:22:55
Episode Cover

SURA YA 4-4. Sisi ni Warithi wa Mungu (Wagalatia 4:1-11)

Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...

Listen

Episode 2

January 15, 2023 01:06:43
Episode Cover

SURA YA 4-2. Je! Wewe na Mimi Tuna Imani Sawa na Ile ya Abraham? (Wagalatia 4:12-31)

Masharti kama vile kujitengenezea Wakristo au kanisa lenye watu watu wengi,linaloonekana kuwa maarufu sana,haswa miongoni mwa jamii za Wakaristo wa Dunia ya Tatu.Wanajaribu kubadilisha...

Listen

Episode 8

January 15, 2023 00:47:26
Episode Cover

SURA YA 5-4. Matakwa ya Roho Mtakatifu na yale ya Mwilini (Wagalatia 5:13-26)

Katika aya na maandiko ya leo, Mtume Paulo alisema, Tembea kwa Roho. Je! Inamaanisha nini kwetu kuzaliwa mara ya pili kwa kufuata matakwa ya...

Listen