SURA YA 6-2. Lazima Tutupilie, Mbali Imani Ya Sala za Toba na Kutambua Kuwa Ni Uwongo (Wagalatia 6:1-10)

Episode 13 January 15, 2023 00:51:26
SURA YA 6-2. Lazima Tutupilie, Mbali Imani Ya Sala za Toba na Kutambua Kuwa Ni Uwongo (Wagalatia 6:1-10)
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 6-2. Lazima Tutupilie, Mbali Imani Ya Sala za Toba na Kutambua Kuwa Ni Uwongo (Wagalatia 6:1-10)

Jan 15 2023 | 00:51:26

/

Show Notes

Nimeshughulikia maswala kadhaa katika Wagalatia hadi sasa, lakini kushughulikia Kitabu cha Wagalatia kwa undani zaidi, bado ninahitaji kutoa mahubiri zaidi. Ni kwa sababu Neno katika Wagalatia lina mengi sana na masomo ya kiroho ambayo lazima yashughulikiwe.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 9

January 15, 2023 00:37:39
Episode Cover

SURA YA 5-5. Tembea Katika Matakwa Ya Roho (Wagalatia 5:16-26)

Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza...

Listen

Episode 2

January 15, 2023 01:06:43
Episode Cover

SURA YA 4-2. Je! Wewe na Mimi Tuna Imani Sawa na Ile ya Abraham? (Wagalatia 4:12-31)

Masharti kama vile kujitengenezea Wakristo au kanisa lenye watu watu wengi,linaloonekana kuwa maarufu sana,haswa miongoni mwa jamii za Wakaristo wa Dunia ya Tatu.Wanajaribu kubadilisha...

Listen

Episode 16

January 15, 2023 00:39:11
Episode Cover

SURA YA 6-5. Hebu na Tuhubiri Injili ya Maji na Roho Kwa Ufahamu Sahihi (Wagalatia 6:17-18)

Katika sehemu ya mwisho ya Wagalatia, mtume Paulo alisema haswa, Tangu sasa mtu asinitaabishe;kwa maana ninachukua mwilini mwangu chapa zake Yesu. (Wagalatia 6:17). Alichomaanisha...

Listen