Kifungu cha Maandiko cha leo kinasema Ndugu zangu,mtu akighafilika katika kosa lolote,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole,Mtu ameghafilika kwa kosa lolote, tunapaswa kurejesha watu kama hao kwa roho ya upole, na tukajichunguze. Kwanza lazima tuchunguze imani yetu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza...
Katika Wagalatia sura 5 mtari wa 1, inasema, Kwa hiyo simameni,wala msinaswe tena chini ya konwa la utumwa. Kifungu hiki kinatuambia tusiipokee tohara ya...
Katika aya na maandiko ya leo, Mtume Paulo alisema, Tembea kwa Roho. Je! Inamaanisha nini kwetu kuzaliwa mara ya pili kwa kufuata matakwa ya...