Jioni hii, katika Neno la Mungu kutoka Wagalatia 6: 11-18, ningependa kushiriki neema za Bwana nanyi. Kama tulivyoona hivi sasa katika Neno, na vile vile katika kifungu hiki, tunaweza kuona tena jinsi waasi walivyolitupa Kanisa la Mungu katika machafuko makubwa ya kiroho, na jinsi mtume Paulo alivyopata shida kubwa mikononi mwa walanguzi aliokuwa nao. Tuje kwenye haya makanisa ya Galatia,Ndio maana Paulo alikasirika.
Mtume Paulo kwanza aliwaonyesha watu wa tohara nia na siri. Sababu zilizowafanya kutetea tohara ya mwili zilikuwa ni tatu: Kwanza, ni kupitishwa na Wayahudi; pili, kuzuia kuteswa na watu wao; na ya tatu, kujivunia imani yao. Ndio sababu Paulo alisema katika Wagalatia 6: 12-13, "Wote watakao kuonekana ni wazuri kwa mambo ya mwili,ndio wanaowashurutisha kutahiriwa;makusudi wasiudhiwe kwa ajili ya msalaba wa Kristo,hilo tu.Kwa maana hata wao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sheria;bali wanataka ninyi mtahiriwe,wapate kuona fahari katika miili yenu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo alizungumza juu ya maisha ambayo humfuata Roho Mtakatifu, na maisha ambayo hufuata mwili. Tuna tabia hizi...
Mtume Paulo alisema kuwa ingawa watakatifu na wahudumu wote ni warithi wa Mungu ambao watarithi Ufalme wake, wakati wanaishi hapa duniani, sio tofauti na...
Katika kifungu cha maandiko cha leo, mtume Paulo anafafanua kazi za mwili na tunda la Roho Mtakatifu kwa kuzitofautisha dhidi ya kila mmoja. Kwanza...